Thursday, January 29, 2015

SCHOLARSHIPS ANNOUNCEMENT - UDSM.

CALL FOR INTERVIEW PHASE IV - MIST

JOB VACANCY - IHI.


Ifakara Health Institute (IHI) is one of Africa's most eminent health research organizations. With a history of more than 50 years, IHI is an independent, non-profit organization, registered in Tanzania and led by Tanzanians.   IHI conducts a wide range of health-related research, including biomedical and environmental studies, trials of drugs, vaccines and diagnostics, health-systems research, and monitoring and evaluation.

IHI invites applications from interested, suitable and qualified Tanzanians to fill the position of 
INTERNAL AUDITOR

POSITION SUMMARY 
Reports to senior internal auditor and ensures successful completion of assigned audit engagements, from start to finish, inclusive of pre-planning. He /She directs daily activities of more junior auditors.
The Auditor applies risk and control concepts to scenarios encountered and identifies any potential issues. 
He/she communicates, identifies issues with internal auditors and senior internal auditor to ensure any potential concerns are addressed in a timely and in effective manner in all IHI branches and sites. 


DUTY STATION: DAR ES SALAAM 

Key Responsibilities 

EMPLOYMENT OPPORTUNITY - NM-AIST

NM-AIST-Announcement - PhD Fellowships Under PEHPL-2015.

Employment Opportunities - MUHAS (Re- advertised).

Monday, January 26, 2015

TRA YATOA SEMINA YA HIMAYA MOJA YA FORODHA KWA TUME YA MIPANGO.

Mtaalamu wa Masuala ya Forodha kutoka TRA, Bw. Stambuli Myovela (Kulia) akizungumza wakati wa Semina ya Himaya Moja ya Forodha (Single Customs Territory) kwa watumishi wa Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango.

Na Saidi Mkabakuli
Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) imetoa semina juu ya Himaya Moja ya Forodha (Single Customs Territory) kwa watumishi na viongozi waandamizi wa Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango.
Akizungumza katika ufunguzi wa Semina hiyo, Naibu Katibu Mtendaji wa Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango na Mkuu wa Kongane ya Biashara ya Kimataifa na Ushirikiano wa Kiuchumi, Bw. Paul Sangawe amesema kuwa semina hiyo ina lengo la kuhakikisha kuwa kuna uelewa wa pamoja kuhusu utaratibu huo kwa watumishi wa umma na watanzania wote.
“Lengo la semina hii ni kupata ufahamu wa kutosha kuhusu mambo mbalimbali yanayoendelea, ili kuweza kushauri Serikali ipasavyo katika masuala mbalimbali ya kisera katika Mtangamano wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki,” alisema Bw. Sangawe.
Akiwasilisha mada juu ya Mfumo wa Himaya Moja ya Forodha kwa watumishi, Mtaalamu wa Masuala ya Forodha, Bw. Stambuli Myovela alisema kwamba mfumo huo unaainisha utaratibu wa Mzunguko Huru wa Biashara, Usimamizi wa Mapato, na Mfumo wa Kisheria.
Bw. Myovela aliongeza kuwa kwa mujibu ya mfumo uliokubalika ni kwa kila Nchi Wanachama zitakushanya mapato yake ya kodi. Aidha, kwa bidhaa zinazopitia Nchi moja kuelekea katika Nchi nyingine wanachama (Transit Goods), Nchi Wanachama zimekubaliana kuwa nchi husika bidhaa zinapokwenda itakusanya mapato yake na kuifahamisha mamlaka ya forodha mizigo ilipoingilia katika Jumuiya kwa ajili ya kuruhusu bidhaa kuondoshwa.
Akieleza namna ya utendaji kazi wa mfumo huo, Bw. Myovela aliongeza: “Baada ya kuthibitisha kuwa kodi imelipwa, mizigo itasafirishwa kutoka kituo cha kwanza cha forodha chini ya usimamizi wa Mamlaka ya Forodha kwenda nchi ambayo mizigo hiyo imekusudiwa kutumika ndani ya Jumuiya. Mfumo maalum wa ufuatiliaji kielektroniki (Electronic Cargo Tracking System) utatumika kuhakikisha mizigo inafika salama katika nchi iliyokusudiwa katika Jumuiya.”
Mfumo wa Himaya Moja ya forodha uliridhiwa na Baraza la Mawaziri la Jumuiya ya Afrika Mashariki katika Mkutano wake wa 28 ambapo kwa pamoja Mawaziri hao waliridhia kuwa na Mpangokazi unaoainisha masuala ya kutekeleza katika kipindi cha miezi sita ili kuwezesha kuanzishwa kwa Himaya Moja ya Forodha ifikapo mweizi Juni, 2014.
Naibu Katibu Mtendaji wa Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango na Mkuu wa Kongane ya Biashara ya Kimataifa na Ushirikiano wa Kiuchumi, Bw. Paul Sangawe (Kushoto) akizungumza wakati wa ufunguzi wa Semina ya Himaya Moja ya Forodha (Single Customs Territory).

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI - UTUMISHI.

TANGAZO LA AJIRA (TanTrade, CBE, TPSC, TaSUBa, MWEKA, TTB, TIC, TEMDO, NFRA, NECTA, ADEM)

Wednesday, January 14, 2015

MAFUNZO YA VIJANA WA JKT (KUJITOLEA) - 2015.


TANGAZO LA MKUU WA JESHI LA KUJENGA TAIFA KWA VIJANA WOTE WANAOTAKA KUJIUNGA NA MAFUNZO YA JESHI LA KUJENGA TAIFA KWA UTARATIBU WA KUJITOLEA MWAKA 2015.
UTARATIBU UTAKUWA KAMA IFUATAVYO:
BARUA ZA MAELEKEZO ZITATUMWA MIKOANI FEBRUARI 2015, MCHAKATO WA KUCHAGUA VIJANA WILAYANI NA MIKOANI (MACHI HADI APRILI 2015), TIMU ZA USAILI TOKA MAKAO MAKUU YA JKT ZITAKUWA MIKOANI MEI 2015 NA VIJANA WALIOCHAGULIWA KURIPOTI VIKOSINI JUNI 2015.
LINATOLEWA ANGALIZO KWA VIJANA, WAZAZI/WALEZI KUEPUKA KUDANGANYWA NA MATAPELI WANAOJIHUSISHA NA UUZAJI WA FOMU BANDIA ZA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA.
FOMU ZINAZOTOLEWA SASA NI BATILI. JESHI LA KUJENGA TAIFA HALITATAMBUA USAILI WOWOTE UTAKAOFANYIKA KINYUME NA UTARATIBU ULIOAINISHWA.

TANGAZO HILI LIMETOLEWA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA MAKAO MAKUU

Thursday, January 8, 2015

MSc. SCHOLARSHIPS ADVERT 2015.

MAJINA YA WALIOPANGIWA VITUO VYA KAZI KADA ZA AFYA 2014-2015.


BOFYA HAPA (CLICK HERE)

TANGAZO KWA WALIOPANGIWA VITUO VYA KAZI 2014/2015 - KADA YA AFYA.

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE, HESABU ZA MASHIRIKA YA UMMA (PAC) YAKAGUA UKARABATI WA RELI YA KATI


Kamati ya Kudumu ya Bunge, Hesabu za Mashirika ya Umma (PAC) ilifanya ukaguzi wa ukarabati wa Reli ya Kati katika Wilaya ya Kilosa kwa kutumia Kiberenge 07/01/2015. Mwenyekiti wa kamati hiyo Mh. Zitto Zuberi Kabwe (MB) amesema "Zinahitajika tshs 500 bilioni kila mwaka kwa miaka 3 mfululizo kuweza kukarabati miundombuni ya Reli Tanzania ( Reli ya ratili 80 ). Ili kujenga Reli mpya kabisa ya ' standard gauge' zinahitajika $6.5bn .Kwa Nchi kama yetu, bila mtandao wa Reli madhubuti, Uchumi utakua kwa mwendo huu huu wa jongoo badala ya ukuaji wa kasi"

JOB VACANCIES - SUA


LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...