Wednesday, April 30, 2014

INVITATION FOR BID NO.: ME-011/2013-14/W/08 : FOR CONSTRUCTION AND COMPLETION OF SAME – MWANGA – KOROGWE WATER SUPPLY PROJECT PHASE I –LOT 1, CONSTRUCTION PACKAGE I.

KUITWA KAZINI UTUMISHI - APRILI 30, 2014.

JOB VACANCIES - NM-AIST.

JOB VACANCIES - VETA.

Vocational Education and Training Authority (VETA) is an autonomous Government Agency established by the Act of Parliament No. 1 of 1994. VETA is responsible for regulating, coordinating, financing and providing Vocational Education and Training in Tanzania. VETA is an equal opportunity organization.
The Authority is looking for qualified, competent, dynamic and committed Tanzanians to fill the following vacant positions:
1.0     PROJECT MANAGER – (1 position)
Reports to Director of labour Market, Research &Development
Job purpose
To effectively and efficiently plan, organize and monitor the construction and rehabilitation projects of the Authority buildings and Infrastructure by providing technical support as per set standards and regulations to ensure the quality and cost control of the projects and achieve VETA objectives.
  1. CRITICAL RESULT AREA:
i.  Monitoring effectively the construction and rehabilitation projects.
ii. Effective cost control on project implementation as per the project cost estimates.
iii.To ensure cost effectiveness on project implementation
iv. Monitor proper acquisition and lease of authority properties abiding to VET Policy.
  1.           JOB CONTEXT:
This is a managerial post accountable to the Director of Labour Market, Research and Development to co-ordinate and Harmonise project implementation.
  1.           SUPERVISORY/MANAGERIAL BREADTH
The post entails integration of technical abilities, economic and managerial to enable effective co-ordination of the project implementation.
2.0     REQUIRED QUALIFICATIONS

Tuesday, April 29, 2014

MAURITIUS - AFRICA SCHOLARSHIPS 2014.

The Government of the Republic of Mauritius is offering scholarships for undergraduate studies in public tertiary education institutions in Mauritius.

Applications are invited from qualified Tanzanians to apply for undergraduate programs tenable in the Republic of Mauritius for 2014/2015 academic year in the following areas of specializations:-
  • Medicine,
  • Engineering,
  • Science and Technology,
  • Oil and Gas,
  • Agriculture,
  • Telecommunications  and,
  • Geology.
1. Financial conditions of the scholarship
1.1. The scholarship will cover:-
a)  A monthly living allowances of Rs 8,300 (USD 266 approx.)
b)  Tuition fees up to Rs 100,000 (USD 3205 approx.) yearly, and 
c)  Airfare (economy class) by the most economical route to and from Mauritius at the start and the end of the studies.

1.2.    
The duration of the scholarship will be for a maximum of four (4) years depending on the course duration.

2.  Eligibility
2.1  Students must have:-
(a)  Passed 3 principals at Advanced Certificate of Secondary Education or at an equivalent level acceptable to the scholarship panel;

(b)  Secured an Admission letter from  a fully accredited and on campus undergraduate programme on a full- time basis from one of the following public institutions in Mauritius:-

Institution                                                           Website

(i)  University of Mauritius                                 www.uom.ac.mu
(ii) University of Technology, Mauritius               www.utm.ac.mu
(iii) Universities des Mascareignes                      www.udm.ac.mu
(iv) Open university                                          www.open.ac.mu
(v) Fashion and Design Institute                         www.fdi.mu 
(vi) Mauritius Institute of education                    www.mie.ac.mu 
(vii) Mahatma Gandhi Institute                           wwww.mgirti.ac.mu
(viii)Rabindranath Tagore Institute                     www.mgirti.ac.mu
 

MAOMBI YA NAFASI ZA MAFUNZO WIZARA YA AFYA MWAKA WA MASOMO KUPITIA NACTE 2014/15.

Katibu Mkuu Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii anakaribisha maombi ya kujiunga na kozi mbalimbali zinazotolewa katika vyuo vinavyoendeshwa na Wizara ya Afya kwa mwaka wa masomo 2014/2015.
1. Kozi zinazotangazwa ni:
A.     Kozi za ngazi ya Stashahada (Ordinary Diploma Programmes):
  1.                                Stashahada ya Afya ya Mazingira (Ordinary Diploma in Environmental Health Sciences)
  2.                        Stashahada ya Uzoeza viungo (Ordinary Diploma in Physiotherapy )
  3.                        Stashahada ya Teknologia ya Viungo Bandia vya Kinywa na Meno (Ordinary Diploma in Dental Laboratory Technology)
  4.                        Stashahada ya Teknologia ya Maabara za Afya ya Binadamu (Ordinary Diploma in Health Laboratory Technology)
  5.                        Stashahada ya Optometria (Ordinary Diploma in Optometry)
  6.                        Stashahada ya Utabibu wa Magonjwa ya Binadamu (Ordinary Diploma in Clinical Medicine)
  7.                        Stashahada ya Utabibu wa Magonjwa ya Kinywa na Meno (Ordinary Diploma in Clinical Dentistry)
  8.                        Stashahada ya Uuguzi (Ordinary Diploma in Nursing)
B.     Kozi za ngazi ya Cheti (Technician Certificate Programme)
  1.                                Astashahada ya Teknologia ya Maabara za Afya ya Binadamu (Technician Certificate in Health Laboratory Technology)
  2.                          Astashahada ya Utabibu wa Magonjwa ya Binadamu (Technician Certificate in Clinical Medicine)
  3.                          Astashahada ya Uuguzi (Technician Certificate in Nursing)
  4.                          Astashahada ya Teknologia ya Kutunza Kumbukumbu za Afya ya Binadamu (TechnicianCertificate in Health Record Technology)
  5.                          Astashahada ya Afya ya mazingira )Technician certificate in Environmental health Sciences)

CALL FOR ORAL INTERVIEW - TPDC.

Thursday, April 17, 2014

JUKWAA LA KATIBA LA LAANI KAULI ZA LUKUVI ALIZOTOA BUNGENI

Mchana huu jukwaa la katiba limetoa tamko kulaani kauli alizotoa Waziri William Lukuvi Jumamosi kuhusu jeshi kuchukua nchi kama serikali 3 zikiridhiwa.
Hata hivo, leo tena Waziri Lukuvi akiongea Mjini Dodoma ameonesha hofu yake juu ya udini. ." Uamsho ni taasisi ya kidini inayotekeleza sera za kisiasa za CUF, latia hofu kuibuka chokochoko za kidini nchini" asema Lukuvi.

Updates: AJALI YA MELI KOREA KUSINI, 179 WAOKOLEWA.

Watu 179 waokolewa mpaka sasa huku karibu watu 300 hawajulikani walipo baada ya meli iliyobeba abiria 470 kuzama jana. Maofisa wasema watu 9 wamepoteza maisha mpaka sasa.

Kwa habari zaidi endelea kutembelea blogu hii.

Wednesday, April 16, 2014

JOB VACANCIES - CCBRT.



PhD SCHOLARSHIPS - UDSM.

CALL FOR INTERVIEW - SIDO


WATU 25 WATHIBITISHWA KUFA KWA MAFURIKO DAR.


Watu 25 wamethibitika kufa mkoani Dar es Salaam kutokana na mvua kubwa zilizonyesha kwa siku tatu mfululizo kuanzia Ijumaa hadi Jumapili wiki iliyopita.
Kwa mujibu wa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Sadik Meck Sadik amethibitisha kutokea kwa vifo hivyo akisema watu wengine 14 wanadaiwa kufa, lakini hawajathibitishwa na polisi.
Taarifa kutoka wilaya ya Temeke imesema watu saba wamethibitishwa kufa kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa iliyonyesha.Mkuu huyo wa mkoa wa Dar es Salaam wenye wilaya tatu, amesema watu 11 wamekufa katika wilaya ya Ilala, huku wengine wawili hawajaonekana mpaka sasa.
Pia kuna taarifa za watu 21 kufariki dunia katika wilaya ya Kinondoni, japo hawajathibitishwa.
Mkuu huyo wa mkoa wa Dar es Salaam Bwana Sadik amesema miundombinu ya barabara na madaraja imeanza kurejeshwa baada ya kuharibiwa na mafuriko na kusababisha mkoa wa Dar es Salaam kukosa mawasiliano ya ndani na pia kukosa mawasiliano na mikoa jirani.


Chanzo: BBC

Updates: WALIONUSURIKA KATIKA MELI ILIYOZAMA KOREA WASIMULIA.

Meli ya Korea Kusini ikizama
Watu walionusurika wamekuwa wakielezea hali ilivyokuwa ya kutisha ndani ya meli ya Korea Kusini ilipoanza kusimama kwa kuyumba, akiegemea upande mmoja na haraka kuanza kuzama.
"Kwa kweli kulikuwa na sauti kubwa na meli ghafla ikanza kuegemea upande mmoja," amesema abiria aliyeokolewa, Kim Song-Muk.
Bado haijafahamika kilichosababisha kuzama kwa meli hiyo, ambayo kwa kiasi kikubwa iliwabeba wanafunzi wa shule, lakini watu walionusurika katika ajali hiyo wanatoa maelezo sawa kuhusu tukio hilo la kutisha."watu walikuwa wakihangaika kukimbilia maeneo ya juu ya meli, lakini ilikuwa vigumu kufanya hivyo kutokana na meli kupinduka."
Kikosi cha Walinzi wa Pwani ya Korea Kusini kimesema abiria wapatao mia tatu hawajulikani walipo baada ya meli kupinduka na kuzama.
Watu wawili wamefahamika kupoteza maisha na watu mia moja na sitini na wanne wameokolewa. Kikosi cha wapiga mbizi kwa sasa wanatafuta meli iliyozama. Wengi wa abiria wa meli hiyo ni wanafunzi wa sekondari wakiwa katika safari ya masomo kuelekea kisiwa cha Jeju, nchini Korea Kusini.
Meli hiyo ilikuwa na watu 460.
Chanzo: BBC

NAFASI ZA KAZI ZILIZOTANGAZWA KATIKA MAGAZETI YA MWANANCHI NA DAILY NEWS.


PERSONAL  SECRETARY  III - 2 POSITIONS
Qualifications: Holder of Secondary Education Certificate who has attained a Certificate in Secretarial Duties stage  III, having a minimum shorthand speed of 100/120 w.p.m and pass in basic computer skills
Apply: Chief Government Chemist,Government Chemist Laboratory Agency
P. O. Box 164,Dar es Salaam
Details: Daily News, 9 April 2014
Deadline: 23 April, 2014

LOAN SUPERVISOR
Qualifications: University degree in Economics, Accounting,
Business Administration
Apply: The Chief Executive Officer,Visionfund Tanzania
P. O. Box 1546,Arusha
Details: Daily News, 9 April 2014
Deadline: 10 May, 2014

BRANCH MANAGER
Qualifications: University degree in Economics, Accounting,
Business Administration
Apply: The Chief Executive Officer,Visionfund Tanzania
P. O. Box 1546,Arusha
Details: Daily News, 9 April 2014
Deadline: 10 May, 2014

MAINTENANCE TECHNICIAN II
Qualifications: Holders of Full
Technician Certificate (FTC) in Electrical Engineering from
recognized institutions
Apply: Director General,
Tanzania Bureau of Standards,
P. O. Box 9524,Dar es Salaam
Details: Mwananchi, 9 April 2014
Deadline: 22 April, 2014

UFAFANUZI ZAIDI KUHUSU MATANGAZO YA KAZI - UTUMISHI.

Waombaji wa fursa za ajira Serikalini kupitia Sekretarieti ya Ajira wametakiwa kuweka kumbukumbu sahihi za matangazo ya kazi wanazoziomba ili kurahisisha kujua ni tangazo gani aliomba pindi matangazo ya kuitwa kwenye usaili yanapotolewa.
Hayo yamesemwa  na  Bw. Lucas Mrumapili ambae ni  Naibu Katibu wa Idara ya Ajira katika Sekretarieti ya Ajira wakati akitoa ufafanuzi kwa baadhi ya wasailiwa waliofika  ofisini kwake ili kujua majina ya kuitwa kwenye usaili wa nafasi za kazi za PPRA utafanyika lini.
Akijibu swali hilo alisema kuwa ofisi yake imejipanga vyema kuhakikisha kila tangazo linalotolewa usaili wake unafanyika kwa wakati. Hivyo kuwataka waombaji wa fursa za ajira kuwa wavumilivu wakati mchakato huo ukiendelea, ambapo alitolea ufafanuzi wa usaili wa matangazo husika akianzia tangazo la kazi la tarehe 28 Desemba, 2013 ambalo mwisho wa kupokea maombi ilikuwa tarehe 14 Januari, 2014 kuwa usaili wake utafanyika mwisho mwa mwezi Aprili mwaka huu.
Mrumapili amesema kwa tangazo la tarehe 30 Desemba, 2013 ambalo mwisho wa kupokea maombi ilikuwa tarehe 13 Januari, 2014 kuwa mchakato wake bado unaendelea kutokana na kuhitaji uchambuzi wa kina kwa kila kada maana baadhi ya waombaji kazi  wa tangazo hilo kujirudia zaidi ya mara mbili.

Breaking news: MELI YAZAMA

Meli yenye abiria 450 wengi wao wakiwa wanafunzi imezama karibu n Pwani ya Korea Kusini usiku wa kuamkia leo. Watu 56 wameokolewa mpaka sasa.
Kwa habari zaidi juu ya tukio hili endelea kutembelea blogu hii.

Tuesday, April 15, 2014

VACANCY - TUMAINI UNIVERSITY MAKUMIRA KILIMANJARO CHRISTIAN MEDICAL UNIVERSITY COLLEGE.

Mke wa Rais wa Kenya aweka historia London, akimbia mbio za Marathon.


Mama Margaret Kenyatta mke wa Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta, amekuwa mwanamke wa kwanza mama wa taifa kushiriki mbio za London Marathon na kumaliza mbio hizo.
Alishangiliwa na wakenya wanaoishi nchini Uingereza alipomaliza mbio hizo za kilomita 42 kwa muda wa saa saba na dakika nne siku ya Jumapili.
Bi Kenyatta akilakiwa na mumewe Rais Uhuru Kenyatta

Bi Kenyatta alishiriki mbio za London Marathon kama sehemu ya mradi wake wa kuchangisha pesa za kuwasaidia wanawake wajawazito kujifungua katika mazingira salama na kuhakikisha kuwa watoto wao pia wanaishi nchini Kenya.Mama Margaret alilakiwa na Rais Kenyatta pamoja na waandalizi wa mbio hizo mjini London mwishoni mwa mbio huku akiwapa motisha wakenya na jamii ya kimataifa kwa kuwa mke wa kwanza wa rais kuwahi kushiriki mbio hizo.
Lengo lake kuu ni kupunguza idadi ya vifo vya wanawake wajawazito na watoto wachanga.
Wanawake wengi na watoto wachanga nchini Kenya hupoteza maisha yao wakati wa kujifungua kutokana na ukosefu wa huduma salama na sasa mama Kenyatta amejitwika jukumu la kuwapa akina mama wajawazito uwezo wa kujifungua salama.
Bi Kenyatta alikuwa na kikundi cha wasaidizi 8 waliokuwa naye hadi alipofika mwishoni mwa mbio hizo.
Wakenya kutoka sehemu mbali mbali uingereza walifika mjini London kushuhudia Bi Kenyatta akikamilisha mbio hizo.
Wakenya ndio walioshinda mbio hizo upande wa wanawake na wanaume.
Wilson Kipsang aling'aa upande wa wanaume kwa kuweka rekodi mpya ya saa mbili na dakika nne. Kipsang alifuatiwa na mkenya mwenzake Stanley Biwott.
Kwa upande wa wanawake, Edna Kiplagat alishikilia nafasi ya kwanza akifuatiwa na mkenya mwenzake Florence Kiplagat

Chanzo : BBC

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI JUU YA HATI YA MUUNGANO.

Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akiowaonesha waandishi wa habari hati halisi ya Muungano ikulu jijini Dar es Salaam leo jioni (picha na Freddy Maro)

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS 

PRESIDENT’S OFFICE,
THE STATE HOUSE, 
P.O. BOX 9120, 
DAR ES SALAAM.
Tanzania. 
Telephone: 255-22-2114512, 2116898
Fax: 255-22-2113425 




TAMKO LA KATIBU MKUU KIONGOZI KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU HATI YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR IKULU, DAR ES SALAAM, TAREHE 14 APRILI, 2014
______________________________ ____________________ 


Siku 12 zijazo tutasherehekea miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, na kuzaliwa kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Wamezaliwa watu ndani ya Muungano huu na wengine wana wajukuu. 

Inasikitisha sana kuwa leo, miaka 50 baadaye ipo dhana potofu inayojengwa kuwa Muungano huu si halali kwa vile hakuna Hati ya Muungano (Articles of the Union). 


Waasisi wa Taifa letu ambao tarehe 22 Aprili, 1964 kule Zanzibar walitia saini Hati hiyo, mbele ya mashuhuda, nao wameonekana kama walichokifanya kilikuwa kiini macho, na kwa hiyo kwamba waliongoza Taifa jipya la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa msingi wa kiini macho hicho kwa miaka yote hadi Mwenyezi Mungu alipowaita.

Monday, April 14, 2014

Madaktari wakuza 'uke' katika maabara.

Ni mara ya kwanza kwa uke wa mwanamke kukuzwa katika maabara

Madaktari nchini Marekani wamefanikiwa kuwatengezea wanawake wanne sehemu ya uke kwa njia ya kisayansi.
Walitumia mfano wa seli ya uke na mifupa ya mwili kuweza kukuza uke huo katika maabara kwa kuzingatia wastani na umbo la kila mwanamke.
Baada ya matibabu hayo, wanawake hao wote inaarifiwa walielezea kupata hisia sawa na kamilifu,matamanio, kuridhishwa wakati wa tendo la ndoa pamoja na kutopata maumivu yoyote wakati wa tendo la ndoa.

ALICHOSEMA ZITTO KABWE JUU YA SERIKALI 2 AU 3.


Kuna ambao wanaamini kabisa kwamba kuifukua Tanganyika ndani ya Muungano kutavunja Muungano na hivyo wanataka S2 ziboreshwe. Kuna ambao wanataka S2 kwa kufuata mkumbo tu na kwamba ni 'sera' ya chama chao. 
Kuna ambao wanaamini kabisa kwamba S3 ndio njia ya kuimarisha Muungano na kuufanya endelevu kwa kuweka uwazi katika muundo wa Muungano na usawa wa Washirika. Kuna ambao S3 ni njia ya kutokea kuelekea kuvunja muungano maana ama hawaamini katika muungano au hawana itikadi yeyote (ideological bankruptcy).
Wanaong'ang'ania S2 wakidhani wanalinda Muungano watambue kuwa wanawapa nguvu S3 wanaotaka kuvunja muungano.
Ni busara na maono ya mbali kwamba wale wanaoupenda Muungano ( ideologically clear people) kuhakikisha S3 zenye Serikali imara ya muungano. Usipotaka mabadiliko, mabadiliko yatakutaka. Tafakari


Chanzo: Zitto social media.

Call for Conference Papers - UDSM.

Invitation to National Occupational Safety and Health Course (NOSHC) MODULE TWO

Friday, April 11, 2014

TANGAZO KUHUSU MATOKEO YA USAILI WA MWEZI MACHI, 2014.

Wasailiwa waliofanya usaili kuanzia tarehe 4 hadi 15  Machi, 2014 kwa kada za  Kilimo, Mifugo na Uvuvi wametakiwa kuangalia majina yao katika Tovuti ya Sekretarieti ya Ajira kwa watakaokuwa wamefaulu usaili huo kuanzia tarehe 28 Aprili, 2014.
Naibu Katibu wa Idara ya Ajira katika Sekretarieti ya Ajira Bw. Lucas Mrumapili amesema hayo leo wakati akiongea na baadhi ya wasailiwa waliomtembelea ofisini kwake ili  kujua matokeo ya usaili wa kada za Kilimo, Mifugo na Uvuvi.
“Sasa hivi kuwapa matokeo yenu hapa siwezi maana kuna taratibu zake ila ninachoweza kuwaeleza ni kwamba mchakato mzima wa usaili huo uko katika hatua za mwisho ambapo hivi sasa tunaandika barua za kuwapangia vituo vya kazi wale waliofaulu usaili kulingana mahitaji ya Waajiri. Hivyo ni vyema nyote mkatembelea tovuti yetu mwishoni mwa mwezi huu tutakuwa tumeshatoa matokeo” alisema Mrumapili.

Alifafanua kuwa ambao hawataona majina yao pindi tangazo litakapowekwa hewani watambue kuwa hawakufaulu usaili husika kwa kiwango kinachotakiwa, hivyo pindi watakapoona matangazo mengine ambayo wanasifa zinazotakiwa wasisite kuwasilisha maombi yao kwa mara nyingine.
Wakati huo huo, Mrumapili amewataka waombaji wa tangazo la kazi la tarehe 22 Januari, 2014 ambalo mwisho wa kupokea maombi ilikuwa tarehe 5 Februari, 2014 kuwa usaili wake umeshaanza kwa baadhi ya kada na kwa kada zilizobakia mchakato wa kuwaita waombaji wenye sifa  kwa ajili ya usaili unaendela.
Pia amefafanua kuwa kwa waombaji wa tangazo la tarehe 17 Februari, 2014 ambalo mwisho wa kupokea maombi ilikuwa tarehe 3 Machi, 2014 mchakato wake nao uko katika hatua za mwisho kwa ajili ya kuitwa kwenye usaili.

Naibu Katibu  amesema kuwa ofisi yake imefunga kupokea maombi ya kazi kwa  tangazo  la tarehe 18 Machi, 2014  kwa kuwa mwisho wa kupokea maombi  hayo ilikuwa tarehe 3 Aprili, 2014. Aliongeza kuwa kwa tangazo la tarehe 1 Aprili, 2014 ofisi yake bado inaendelea kupokea maombi ya kazi kwa tangazo husika hadi tarehe 15 Aprili, 2014.
Mwisho amewataka waombaji wote wa fursa za ajira Serikalini pindi wanapotuma maombi yao kuzingatia masharti na maelekezo yaliyotolewa katika tangazo husika ili kujiweka katika nafasi nzuri ya kuitwa kwenye usaili.

Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini.
Ofisi ya Rais-Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
Kwa maelezo zaidi; wasiliana na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
Kwa barua pepe; gcu@ajira.go.tz  na Facebook-page ya “Sekretarieti Ajira”
au simu 255-687624975
 11 Aprili, 2014.

ALICHOSEMA ZITTO KABWE JUU YA IPTL NA FEDHA ZILIZOCHOTWA BOT.


Suala la IPTL na fedha $122m zilizochotwa BoT linachunguzwa na CAG (ukaguzi maalumu) na PCCB (forensic investigatio). Kamati ya PAC iliagiza ukaguzi na uchunguzi huo na itapokea taarifa, kuhoji wahusika na kuwasilisha Taarifa Bungeni kwa maamuzi. 
Kamati ya Nishati na Madini haina mamlaka yeyote kwa mujibu wa Kanuni za Bunge kushughulika na suala hili mpaka hapo taarifa ya uchunguzi itakapotoka. 
Ni busara ya kawaida kabisa kwamba mkutano kati ya Jukwaa la Wahariri na Watendaji wa Wizara ya Nishati na Madini kuhusu suala hili ungesubiri matokeo ya uchunguzi. Inawezekana wizara inalo la kueleza, ikaeleze kwa CAG na PCCB.
 Source: Zitto Social media.

EOI FOR 2D Seismic Survey.

Thursday, April 10, 2014

KINACHOENDELEA BUNGE LA KATIBA HUKO DODOMA HII LEO.


NAFASI ZA KAZI - TBS, APRILI, 2014.

Thursday, April 3, 2014

JOB VACANCY - MD TPDC.

CALL FOR INTERVIEW - TPDC.

JOB VACANCY - CLIMATE CHANGE ADAPTATION PROJECT.

SCHOLARSHIPS ANNOUNCEMENT - UDSM.

Scholarship Opportunity for PhD Studies Tenable at UDSM (Tanzania) 2014/2015 Academic year

University of Dar es Salaam (UDSM), in conjunction with the Norwegian University of Life Sciences (NMBU) and State University of Zanzibar (SUZA) is enhancing capacity building on climate change in relation to vulnerability and resilience of coastal ecosystems and communities with an explicit focus on coastal resource governance, community access, control, and rights to coastal resources, participation in decision-making, and gender roles in coastal Tanzania and Zanzibar. The project is supported by Norwegian Agency for Development Cooperation (NORAD) under the Norwegian Programme for Capacity Building in Higher Education and Research for Development (NORHED).

The goal of the project is to promote people and ecosystem resilience to climate change and strengthen livelihoods in the coastal communities in mainland Tanzania and Zanzibar. The intended outcome is to promote adaptation to climate change and resilient livelihoods among coastal communities in mainland Tanzania and Zanzibar through capacity development in higher education and research.

Centre for Climate Change Studies (CCCS), University of Dar es Salaam and Tropical Research Centre for Oceanography, Environment and Natural Resources (TROCEN), State University of Zanzibar (SUZA) are now accepting scholarship applications for PhD studies tenable at the University of Dar es Salaam (UDSM). Seven positions are tenable this year, with at least 4 females and 3 males. Students will spend 50% of their time in Norway and the rest in Tanzania during year 1 and year 3 of the project timeframe. During year 2 and 4, students will spend 100% of the time in Tanzania collecting data and finalizing their studies. The fellowship will cover tuition, a modest stipend and field costs.

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...