Tuesday, January 28, 2014

DR. REGINARLD MENGI AKUTANA NA KATIBU MKUU WA CCM KINANA

KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akizungumza na Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP, Dr.Reginarld Mengi (kushoto), Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam, leo.

The Journal of Continuing Education and Extension (JCEE).

Matokeo ya usaili wa Mchujo-Kibaha Education Centre-28 Jan, 2014

Usaili wa mahojiano utafanyika tarehe 29 Januari, 2014 Kituo cha elimu Kibaha (KEC)- Kibaha.
Wasailiwa wanatakiwa kufika saa moja kamili asubui wakiwa na nakala halisi za vyeti (Original Certificates)
 EXAMINATION RESULTS FOR EDUCATION OFFICER II - CHEMISTRY KEC          

      EXAMINATION NO.                                SCORES    REMARKS

1    PSRS EDUC OFF II CHEM KEC - 021          64       SELECTED
2    PSRS EDUC OFF II CHEM KEC - 026          60       SELECTED
3    PSRS EDUC OFF II CHEM KEC - 029          59       SELECTED
4    PSRS EDUC OFF II CHEM KEC - 019          50.5    SELECTED
5    PSRS EDUC OFF II CHEM KEC - 018          45       NOT SELECTED
6    PSRS EDUC OFF II CHEM KEC - 024          39       NOT SELECTED

MJASIRIAMALI WA SABUNI ZA MAJI ATIMKA NA MILIONI 30 ZA VODACOM

Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Bw.Matina Nkurlu,akisisitiza jambo kwa waandishi wa Habari (hawapo pichani)kuhusiana napromosheni hiyo ilivyobadilisha maisha ya wateja wao na watanzania kwa ujumla,mara baada ya kumtangaza mshindi wa droo kubwa ya mwezi ya"promosheni ya Timka na Bodaboda" Bi.Jovita Mosha(44)mkazi wa Ubungo external jijini Dar es Salaam aliyeibuka na kitita cha shilingi Milioni 30.

JOB VACANCIES - TCRA.

RAIS AAMURU JESHI KUSIMAMIA UTOAJI HUDUMA KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO MOROGORO

 Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akikagua Daraja la Mto Mkundi mkoani Morogoro linalokarabatiwa baada ya kuharibiwa na mafuriko hivi karibuni.Rais Kikwete alitembelea eneo hilo na sehemu nyingine zilizokumbwa na mafuriko hayo kujionea uharibifu. Picha na Freddy Maro wa Ikulu.

Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi la Ulinzi na
Usalama, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameliamuru Jeshi la Wananchi wa
Tanzania (JWTZ) kuanza mara moja kazi ya kusimamia utoaji huduma kwa watu
walioathiriwa na mafuriko katika Mkoa wa Morogoro, ikiwa ni pamoja na kusimamia
ujenzi wa nyumba za muda wa wahanga hao.

JOB VACANCIES - POSTAL BANK, DEADLINE 31st JAN,2014.

JOB VACANCIES - THE OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA.

Wednesday, January 22, 2014

JOB OPPORTUNITY - TBS.


JOB OPPORTUNITY.
Tanzania Bureau of Standards is pleased to announce the following vacant position which is a one year contract for prospective and potential candidates to apply. The contract is renewable upon satisfactory performance.
  1. JOB TITLE : QUALITY ASSURANCE OFFICER II ( ELECTRICAL ENGINEERING)
 Qualifications and Experience
  • BSc in Electrical Engineering from a recognized institution of higher learning
  • A MSc. in Electrical Engineering will be an added advantage
  • Two years experience in testing of samples in laboratory.
  • Computer knowledge is an essential requirement
  • Age limit: Not exceeding 30 years.

Tuesday, January 14, 2014

Ronaldo Mchezaji bora wa dunia 2013.

Christian Ronaldo
Mshambuliaji wa Real Madrid na timu ya taifa ya Ureno Cristiano Ronaldo jana usiku alinyakua tuzo ya mchezajii bora wa soka wa fifa wa mwaka 2013 na kuwashinda Lionel Messi wa Barcelona na Frank Ribery wa Bayern Munich.
Ronaldo ambaye alinyakuwa tuzo hiyo ya mchezaji bora wa dunia kwa mara kwanza mwaka 2008 alitangazwa kunyakua tuzo mwaka 2013 baada ya kupigiwa kura na makocha, manahodha na waandishi wa habari.
Kwa mujibu wa matokeo Ronaldo alipata kura 1365 akimshinda Messi aliyepata kura 1,205 na Ribery akiambulia kura 1,127.
Kwa upande wa wanawake golikipa wa Ujerumani Nadine Angerer alinyakuwa tuzo ya fifa ya mchezaji bora wa soka kwa upande wanawake huku aliyekuwa kocha wa Bayern Munich Jupp Heynckes akinyakua tuzo ya kuwa kocha bora wa dunia.

Sunday, January 12, 2014

TANGAZO LA SKOLASHIPU ZILIZOTOLEWA NA SERIKALI YA INDONESIA KWA TANZANIA KWA MWAKA 2014/2015.

Serikali ya Tanzania imepokea mwaliko wa Skolashipu kutoka kwa Serikali ya Indonesia kwa mwaka 2014/2015. Skolashipu hizo ni kwa kipindi cha kati ya miezi sita na/au mwaka mmoja.

Wadau wote, raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wenye sifa wanashauriwa wasome mwongozo na wajaze fomu za maombi zinazopatikana kwenye Mtandao wa Serikali ya INDONESIA ufuatao ”http://darmasiswa.kemdiknas.go.id ”

Fomu za maombi zilizokamilika kujazwa pamoja na viambatisho vilivyoainishwa ziwasilishwe kwenye Ubalozi wa Indonesia hapa Tanzania kabla ya tarehe 24/01/2014.

Katibu Mkuu,
Wizara Ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi,
S. L. P 9121,
DAR ES SALAAM

SCHOLARSHIPS - WIZARA YA AFYA.

Waziri wa serikali Libya auawa


Naibu Waziri wa viwanda nchini Libya ameuawa kwa kupigwa risasi wakati alipokuwa ziarani mjini Sirte Mashariki mwa Tripoli ambako alizaliwa.

Thursday, January 9, 2014

JOB VACANCIES - MKAPA HIV/AIDS FOUNDATION.

KUITWA KWENYE USAILI UTUMISHI


BOFYA HAPA

TANGAZO LA KAZI UTUMISHI.

BOFYA HAPA

NYUMBA YATEKETEA KWA MOTO KUTOKANA NA HITIRAFU YA UMEME - MOROGORO.

Wananchi wakiwa wanajaribu kuvunja dirisha ili waweze kuzima moto .

Nyumba moja ailiyotambulika kuwa mmiliki wake ni Mama Mkambala mtaa wa Uhuru Manispaa ya Morogoro, jana jioni iliteketea kwa moto baada ya kutokea hitirafu ya umeme. Kutokana na juhudi zilizofanywa na Wananchi kwa kushirikiana na Kikosi cha zima moto, moto uliweza kudhibitiwa usiweze kusambaa kwenye nyumba za jirani. Katika kazi hiyo ya kuzima moto changamoto ilikuwa ni namna ya kuingia ndani ya nyumba baada ya nyumba hiyo kuwa imefungwa.
Hata hivyo, thamani halisi ya mali zilizoteketea bado haijafahamika na hakuna majeruhi yeyote kutokana na moto huo.

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...