Wednesday, May 15, 2013

MSANII ANGELINA JOLIE AKATWA MATITI KUZUIA SARATANI.

Msanii wa Hollywood Angelina Jolie ametangaza kuwa amefanyiwa upasuaji wa kuondoa maziwa yote ili kuzuiwa saratani. Jolie ambaye aliandika makala katika gazeti la New York Times jana Jumanne akielezea uamuzi wake, alisema aliamua kufanya upasuaji huo baada ya kugundua kuwa alikuwa na kinasaba chenye kasoro, hii ikimaanisha kuwa kulikuwa na uwezekano mkubwa wa yeye kupata saratani ya matiti. Muigizaji huyo wa Marekani alisema alitaka kuweka wazi kisa chake kwa matumaini ya kuwasaidia wanawake wengine.

Na huu ndio wasifu wake:-

Born Angelina Jolie Voight
June 4, 1975 (age 37)[1]
Los Angeles, California, U.S.
Citizenship United States, Cambodia, Sarajevo (honorary)
Occupation Actress, film director, screenwriter
Years active 1982; 1991–present
Spouse(s)
Partner(s) Brad Pitt (2005–present)
Children 6
Parents Jon Voight
Marcheline Bertrand
Relatives James Haven (brother)
Chip Taylor (uncle)

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...