Friday, May 3, 2013

DIAMOND KUWASHA MOTO USIKU WA LEO 93 TOMLINSON AVENUE,LUTON L4 OQL UK.

Msanii wa muziki wa kizazi kipya Diamond usiku wa leo atawasha moto katika ukumbi wa 93 Tomlinson Avenue,Luton L4 OQL.
Na katika kuhamasisha mashabiki wake,Diamond ameandika maneno yafuatayo katika ukurasa wake wa mtandao wa kijamii:-
"Hello my dear Fans wa UK.....Baada ya kufanya uharibifu mkubwa pale jijini london sasa wakazi wa Luton.....Naongelea Ballerz & Divaz wakali wote Tujisogeze hapa tena.....Ts Gona be craiiziee ryt Here nikiwa na silaha zanu mbili hatari.....Kushoto Dumi Utamu vanilla pembeni Mose Iyobo.....Basi patakuwa hapatoshi pale kati.....Mahana ntaakikisha Namaliza Mawazo yangu yote pale pale kisha......Nilewe na watu wangu wa Nguvu Sana......Kisha Hiyo Siku ntamchagua Diva Mmoja wa Nguvu kumpeleka kwa Mama Naseeb....!!
Itakuwa Pale sehemu yenye mandhari mazuri na yenye utulivu 93 Tomlinson Avenue,Luton L4 OQL Kwa Entrance ya £20 getini na £15 kabla....ticket ni chache...!! Nyama Choma na vyakula vingine vitapatikana vyote......! Tukutane pale Tujue  Nani atalewa kati yangu na Nyie mtakaofika na Ladies N Gents Tuje tuone nani atapelekwa kwa Mama Diamond.....!! Usikoseeeee....!!!"

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...