Wednesday, May 29, 2013

CHUO CHA VETA - MIKUMI CHAVUNJWA KUPISHA UPANUZI WA BARABARA.

Chuo cha VETA Mikumi kimevunjwa ukuta wote wa mbele hasa upande wa kukaa wateja Hoteli ya VETA Mikumi baada ya kuonekana kujengwa ndani ya hifadhi ya barabara.
Swali langu hapa ni kwanini hata Taasisi za serikali zinavunja sheria kwa kujenga hata kwenye hifadhi ya barabara?
Pongezi zangu za dhati ziwafikie wale wote waliofikia uamuzi huo wa kuvunja kuta hizo bila kujali kuwa hiyo ni Taasisi ya Serikali.







No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...